Napenda sana sinema za Johari na za Blandina Chagula kwa ujumla! Blandina ni Angela Bassett wa Tanzania! Hiyo jina nampa mimi!
Johari ni muigizaji mzuri sana ila afya yake siku hizi hainifurahishi usimpe kazi sana anahitaji pia kupumzika
ni msanii mzuri bt mkorogo wa nini? u looked good before that mkorogo.
Namkubali sana huyu dada, anavaa uhusika haswaa! Ila kujikondesha na mkorogo, hapo tu ndo anaponikwaza!
Post a Comment
4 comments:
Napenda sana sinema za Johari na za Blandina Chagula kwa ujumla! Blandina ni Angela Bassett wa Tanzania! Hiyo jina nampa mimi!
Johari ni muigizaji mzuri sana ila afya yake siku hizi hainifurahishi usimpe kazi sana anahitaji pia kupumzika
ni msanii mzuri bt mkorogo wa nini? u looked good before that mkorogo.
Namkubali sana huyu dada, anavaa uhusika haswaa! Ila kujikondesha na mkorogo, hapo tu ndo anaponikwaza!
Post a Comment