Mjengo huo unaouona hapo ni RJ Company Tanzania Ltd,Wadau hapa ndipo kazi zote za utengenezaji wa filim za kibongo nyingi ambazo nimecheza mimi na wasanii ambao nimeshirikiana nao,hivyo wadau kama kuna yoyote anayetaka kufanya kazi na RJ mnakaribishwa.Kaa tayari mdau kwa uzinduzi rasmi tarehe na lini nitawajia rasmi.
5 comments:
hiyo ofisi jamani itakuwa ya kukuwadia watu, au hamjui kama ray ni kuwadi aliebobea? yaani hapo ni Ngono kwa kwenda mbele hakuna jipya hapo hiyo ni tahadhari.
tunajua kama hiyo ofisi ni ya waathirika pia ni ya kitapeli,ila elewa kwamba mwisho wako unakaribia kwa utapeli na ukuwadi wako,wewe ni sawa na bi harusi anaevaa shela huku akiwa hajui kama mbele kuna ajali tutakushughulikia usiku na mchana na hao unaowatoa kafara kwa waathirika roho zao zitakulilia watakapowahishwa kwenda ahera mapema.
mbona mnaponda mnauhakika na mnachokisema
congrats Ray mungu akuongoze uzid kusongesha vyema gurudum la filam inshallah utafika......halla to johari...
It is good to support our fellow Tanzania when we see they are trying to make progress. If some one is wrong the wise way must be used to correct. Big up Ray.
Post a Comment