Tunawaomba radhi wadau wote wa blogu ya RAY THE GRETEST kuwa tumebadilisga jina la Blogu na sasa inaitwa:-www.raythegreatest.blogspot.com
Sunday, September 6, 2009
MIMI PIA NILIKUWAMO JAMANI KUWAKILISHA !!!!!!!!!!
Ndani ya Paradise City Hotel (Mafuta House) usiku wa kuamkia leo katika uzinduzi wa BBA 4 Revolution ulioandaliwa na Multchoice Tanzania.Mpaka tunaondoaka hatujui muwakilishi wetu ni nani katika shindano hili!!!!
No comments:
Post a Comment