BAADHI YA WASANII WAKIJADILI MAMBO FULANI KABLA YA KUINGIA KWENYE KIKAO
Kama mnavyoona wasanii wa kiwanda cha movie Tanzania wakiwa na hasira za kuibiwa kazi zao,Single mtambalike(Richie)mwenye tisheti nyekundu,Mahsen awadh(Dr cheni) mwenye shati la blue lenye mistari na bishop mwenye shati la blue jamani imetosha sasa kuibiwa kazi zetu na sisi tunataka kuwa kama mastaa wa Hollywood...
No comments:
Post a Comment