RAY THE GREATEST

TANGAZO LA KUBADILISHA JINA LA BLOGU

TANGAZO LA KUBADILISHA JINA LA  BLOGU
Tunawaomba radhi wadau wote wa blogu ya RAY THE GRETEST kuwa tumebadilisga jina la Blogu na sasa inaitwa:-www.raythegreatest.blogspot.com

Wednesday, September 2, 2009

ON SCENE WITH MY BROTHER "MAGARI" KATIKA DIVORCE COMMING SOON!!!!!


Mzee wa kisauti Mr Magari with me the most great (Ray) on location
Wadau kaeni mkao wa kula "Divorce"

11 comments:

mama ubaya said...

kwani lazima uandike kiinglish broken humu??? mbona unajichoresha????

Anonymous said...

ray taukucheki kwa vile umeandika broken english sio lugha yetu hiyo lkn ukiandika broken kiswahili aahaa hapo tutakusema tena sana

Anonymous said...

wewe kigosi katika profire yako umeandika una miaka 29 wakati mimi nimemaliza na wewe kinondoni sec school mwaka 1994 kidato cha nne chini ya mwalimu rajabu hoya na shariff sasa itakuaje uwe na miaka hiyo wakati kwa mtu mwenye miaka 29 mwaka 1994 alikuwa darasa la saba hacheni kuandika vitu vya uongo kuvutia wasichana

Unknown said...

inawahusu nini nyie mbona hampendi kuona mtu ana maendel;eo mara broken mara oh! huo wote ni wivu tena co kidogo kama mnaona rahisi na nyie mnaweza mkaanazisha so my bro pull ur soxx
mankya nkya
dodoma

Anonymous said...

Ray sikudhani na wewe utaingia kwenye mkumbo wa CD A kuwa PARTY 1 NA CD B kuwa PT 2 KWA KWELI NDIO INACHANGIA WIZI WA KAZI ZENU FILAMU MOJA KUITOA MARA 2 NA TATIZO LAKE UKISHAIANGALIA HUNA HAMU NAYO TENA TUKIO MOJA LINACHUKUA MUDA MREFU ILI MJAZE CD MJIREKEBISHE PUNGUZENI HIZI PARTY 1,2 NA MARA NYINGINE 3

Anonymous said...

wakikosea lazima wakosolewe ili wajue makosa yao na wasiendelee kurudia madudu hakuna kuremba hata kama english sio lugha yetu sasa kwa nini ujing'ang'anize mambo usiyoyaweza? ujinga mtupu na haonewi mtu wivu bwana kwa kipp haswa kucheza movie za kiswazz au ?? nyoooo haihuu....

Anonymous said...

wewe MANKYA inaonekana ni kaka yako ray mimi huyu jamaa nimesoma nae kinondoni muslim form 4 mwaka 1994 sasa inakuaje anasema anamiaka 29 sasa ni muongo kwa kutaka madem alikuwa anasoma biashara au art mtu mwenye miaka 29 sasa wakati ule atakuwa darasa la saba jamaa muongo na akibisha tutamtafuta baraza la mitihani la taifa

Anonymous said...

hivi wewe una contribution gani katika kuwakwamua vijana kwenye hili janga la ukimwi?and why do you think you are great? what is so special about you?

Anonymous said...

Watanzania watu wa ajabu sana! miaka yake na broken english yake inakuhusu nini wewe? Si bora yeye anajaribu na anaingizia pato taifa kwa kazi yake, Mmekalia majungu tu badala ya kufanya kazi, fanya kazi uikomboe nchi yako. Safi sana Ray naikubali sana kazi yako, ingekuwa vijana wote tunajituma kama wewe basi nchi yetu ingekuwa mbali sana.
G aka baba paroko

Anonymous said...

wewe baba paroko chokoraa tu unatetea ujinga ili iweje lazima afundwe sio akurupuke tu kama yeye ni maimuna ni maimuna tuu hakutumwa kuandika ujinga humu kwani angeandika kiswazz si tungemuelewa angalia watoto wa akademia wanavyomuumnua huyo alisoma st kayumba a.k.a msondo na alikuwa mchafu kama mdau mmoja alivesoma naye anavyoeleza kama kimeekuuma meza wembe ukweli utasemwa tuuuu labda ajifunze kubana meseji ila ujumbei utamfikia tu na haya si majungu huu ni ukweli na uwazi kwa hao machangu wa kiume ray/kanumba

Anonymous said...

hapo juu nilikuwa namaanisha watoto wa akademia wanavyomuumbua