kweli anajitahidi kuigiza, na akaze msuri maana vipaji vipya kila leo vinaibuka, ningependa kujua zaidi kuhusu yeye, na vp bado yupo yupo. na siku hizi mwili wake umebadilika kidogo. ok hongereni Ray na Mahinda
mie naona kipaji alichonacho ni cha kupaka mkorogo yani umefulia hadi umeamua kujikoboa lol? tunajua wewe ni mweusi sasa huko unapoelekea sipo full mshamba ati yuko juu wapp vile kajichubua au? sasa naona unaifundisha jamii watumie mikorogo ati kiioo cha jamii wewe ni kioo cha mikorogo full stop!
Ray umefungua blog Hongera ni jambo la maana lakini utulie. Ivi kwanini usiowe na ukatulia? Kutolewa kwenye magazeti na picha chafu siyo u super star, super star ni yule anaye jiheshimu na kuheshimu kazi yake. Wasanii mnazungukana umoumo uwo ni uchafu kumbukeni kuna ukimwi. Bado tunawapenda tunapenda tuendelee kuwaona si kesho anapotea mmoja bahada ya mwinginen ASANTE SANA.
Bwana mdogo unafanya vizuri katika,wewe pamoja na yule mwenzako msukuma bwana kanumba,ila punguza poda usoni,kuna picha nyingine poda zimezidi mpaka umepoteza utanashati wako ule wa kabla hata haujaingia kaole(kuna kundi ulikuwamo silikumbuki)lakini lilikua likionekana CTN nadhani.Halafu hii mambo ya The Great na The most Great waachieni underground haina mpango,nyie mmeshapita huko.Jaribuni kufuatilia HOLLY na BOLLYWOOD Superstars wanavyoishi,achaneni na uswahili wa NOLLYWOOD super stars japo najua mnawashobokea.Na fani ya ngoma vipi umeitosa moja kwa moja?otherwise hongera kwa blog,mwanzo mzuri,Tunakutakia mema maana hiyo ndio ajira yako.ilinde.
RAY karibu kwenye kublogika, watu wengi watakusema lakini wewe chukua yale mema achana nayasio jenga... lakini kumbuka lisemwalo sana lipo, so usipuuze kila kitu. Tunashukuru kwakutuwekea blog ya movie za bongo, lakini this should also serve kama sehemu ya kujifunza wat goes on behind a good movie, basi jaribu kuresearch na kupata habri zaidi zitakazo wezakukuza movie zetu kwani bado tuko nyuma. Tatu jaribu kucensor maneno/comments watuwanazozieka humu, naona watu wanaanzakutukana humu, itakualibia blog wangu. Keep up the spirit tutafika
ki ukweli huyu dada ninamkubali na sijaona muigizaji yoyote wa kike tanzania anaye mfikia, huyu msicha anaigiza vizuri sana i mean kiualisia halembi wala hafotocopy kokote kuigiza kwake ni kwakipekee na anajitaidi kuigiza kama mtz na si... , hata sijui nimuelezee vipi. please! Ray mpe nasasi huyu dada apate kuionesha kazi yake,
Mimi kinachoniudhi na sanaa ya bongo ni wasanii kutaka kuuza sura ili watakane kimahaba, sasa kuna stori kwamba ray demu wake ni johari na johari ni muigizaji hivi hii ni sanaa au mradi wa kuonja onja nyuchi za watu ??
kwani wasanii wa nje hawauzi sura?achani majungu mbona hamsfiii mazuri inamaana mnayaona mabaya tu kama nyie ni waungwana msifieni mazuri yake!mnaona powder tu na umalaya,utadhani nyie wema!
13 comments:
Wasifu wake ni upi haswa?
katulia ila simuoni demu wako Johari,kulikoni??
kweli anajitahidi kuigiza, na akaze msuri maana vipaji vipya kila leo vinaibuka, ningependa kujua zaidi kuhusu yeye, na vp bado yupo yupo. na siku hizi mwili wake umebadilika kidogo. ok hongereni Ray na Mahinda
mbona watu wanapenda kuwa weupe jama! huyu mtoto namkumbuka si alikuwa wa kawaida tuu jama ! au ndio mambo ya urembo hayo
mie naona kipaji alichonacho ni cha kupaka mkorogo yani umefulia hadi umeamua kujikoboa lol? tunajua wewe ni mweusi sasa huko unapoelekea sipo full mshamba ati yuko juu wapp vile kajichubua au? sasa naona unaifundisha jamii watumie mikorogo ati kiioo cha jamii wewe ni kioo cha mikorogo full stop!
Ray umefungua blog Hongera ni jambo la maana lakini utulie. Ivi kwanini usiowe na ukatulia?
Kutolewa kwenye magazeti na picha chafu siyo u super star, super star ni yule anaye jiheshimu na kuheshimu kazi yake. Wasanii mnazungukana umoumo uwo ni uchafu kumbukeni kuna ukimwi. Bado tunawapenda tunapenda tuendelee kuwaona si kesho anapotea mmoja bahada ya mwinginen
ASANTE SANA.
Bwana mdogo unafanya vizuri katika,wewe pamoja na yule mwenzako msukuma bwana kanumba,ila punguza poda usoni,kuna picha nyingine poda zimezidi mpaka umepoteza utanashati wako ule wa kabla hata haujaingia kaole(kuna kundi ulikuwamo silikumbuki)lakini lilikua likionekana CTN nadhani.Halafu hii mambo ya The Great na The most Great waachieni underground haina mpango,nyie mmeshapita huko.Jaribuni kufuatilia HOLLY na BOLLYWOOD Superstars wanavyoishi,achaneni na uswahili wa NOLLYWOOD super stars japo najua mnawashobokea.Na fani ya ngoma vipi umeitosa moja kwa moja?otherwise hongera kwa blog,mwanzo mzuri,Tunakutakia mema maana hiyo ndio ajira yako.ilinde.
RAY
karibu kwenye kublogika, watu wengi watakusema lakini wewe chukua yale mema achana nayasio jenga... lakini kumbuka lisemwalo sana lipo, so usipuuze kila kitu.
Tunashukuru kwakutuwekea blog ya movie za bongo, lakini this should also serve kama sehemu ya kujifunza wat goes on behind a good movie, basi jaribu kuresearch na kupata habri zaidi zitakazo wezakukuza movie zetu kwani bado tuko nyuma.
Tatu jaribu kucensor maneno/comments watuwanazozieka humu, naona watu wanaanzakutukana humu, itakualibia blog wangu.
Keep up the spirit tutafika
MDOGO WANGU RAY BADILI JINA LA BLOG YAKO IWE HIVI KABLA HAIJAWA FAMOUS SANA.
www.raythegreatest.blogspot.com, ITAKUWA IMEKAA VIZURI SANA MDOGO WANGU.
ki ukweli huyu dada ninamkubali na sijaona muigizaji yoyote wa kike tanzania anaye mfikia, huyu msicha anaigiza vizuri sana i mean kiualisia halembi wala hafotocopy kokote kuigiza kwake ni kwakipekee na anajitaidi kuigiza kama mtz na si... , hata sijui nimuelezee vipi. please! Ray mpe nasasi huyu dada apate kuionesha kazi yake,
naona huyo mwanadada baada ya kujichubua akamwambia ray chukua picha hii itawavutia wasomaji wa blog yko haaa wapi binti unaonekana umefulia ww
Mimi kinachoniudhi na sanaa ya bongo ni wasanii kutaka kuuza sura ili watakane kimahaba,
sasa kuna stori kwamba ray demu wake ni johari na johari ni muigizaji hivi hii ni sanaa au mradi wa kuonja onja nyuchi za watu ??
kwani wasanii wa nje hawauzi sura?achani majungu mbona hamsfiii mazuri inamaana mnayaona mabaya tu kama nyie ni waungwana msifieni mazuri yake!mnaona powder tu na umalaya,utadhani nyie wema!
Post a Comment