Kanumba akiwa ndani ya BBA 4 Revolution akiwa kama mwakilishi wa watu maarufu kutoka Tanzania,Tunashukuru mungu kwa nafasi hii aliyoipata ndugu yetu Kanumba,Akhsante sana Movie Magic kwa kufanya mpaka ndugu yetu kupata nafasi hii,Watanzania watambue kwamba Kanumba siyo mwakilishi katika shindano hilo,Mwakilishi wa Tanzania atajulikana hivi karibuni
1 comment:
Hongera sana ndugu yangu tumakusubiri nyumbani!!!
Post a Comment